Maelfu ya watu waokolewa pwani ya Libya


 Meli za wanamaji wa Uhispania na Italia zimewaokoa maelfu ya watu nje ya pwani ya Libya hii leo.

Takriban watu 3000 waliokolewa mapema leo kutoka zaii ya mashua 20 za mbao.

Licha ya watu wengi kushangilia wakati meli za uokoaji zilipowasili na kuruka kupiga mbizi kuelekea kwa meli hizo, wengine walisalia kuwangalia watoto wao.

Shirika la habari la AP linasema kuwa idadi kubwa ya watu hao ni kutoa nchini Eritrea.

Comments

Popular posts from this blog

Picha 10: Dereva wa Kirikuu Anusurika Kifo Baada ya Gari Lake Kuwaka Moto

Ujuwe Ugonjwa wa Busha

Alichokisema aliyekuwa katibu wa chadema mkoani Mwanza baada ya kutimkia CCM