Picha 10: Dereva wa Kirikuu Anusurika Kifo Baada ya Gari Lake Kuwaka Moto
Gari lilivyowaka. Mashuhuda Mashuhuda. Dereva wa gari hilo, Michael Augustino akitoa taarifa kwa bosi wake. Michael akihojiwa na askari. Gari lilivyokuwa kwa ndani baada ya kuwaka moto Askari wa Kikosi Maalum cha Zima Moto pamoja mashuhuda wa tukio hilo. MOROGORO: Dereva wa gari dogo la mizigo aina ya lsuzu Carry (Kirikuu) lenye namba za usajiri T 609 CKW, amenusurika kifo baada ya gari hilo alilokuwa akiendesha kuwaka moto katika eneo la Masika katikati ya Mji wa Morogoro, leo Wakizungumza na mwanahabari wetu aliyefika eneo la tukio, mashuhuda wa tukio hilo Bernard Joseph na Juma ldd walisema; “Huyu dereva wa kirikuu alikuwa akitokea eneo la Msamvu (Kituo Kikuu cha Mabasi Yaendayo Mikoani) alipofika hapa Maska jirani na ‘round about’ tulishuhuida gari lake likiwaka moto kwa nyumba na yeye hakuwa na habari aliendelea na safari hivyo boda boda mmoja aliamua kuwasha pikipiki yake na kumkimbilia na kumjulisha tukio...


duu kwl wasanii mnatisha
ReplyDelete