Danny Simpson aongeza mkataba wa miaka mitatu Leicester City


Mchezaji wa klabu ya Leicester City Danny Simpson mwenye miaka 29 amesaini mkataba mpya wa miaka mitatu kunako timu hiyo Simpson ambaye hucheza nafasi ya beki wa kulia.

Comments

Popular posts from this blog

Picha 10: Dereva wa Kirikuu Anusurika Kifo Baada ya Gari Lake Kuwaka Moto

Ujuwe Ugonjwa wa Busha

Alichokisema aliyekuwa katibu wa chadema mkoani Mwanza baada ya kutimkia CCM