AJALI: Basi la TARIKI lauwa Mtu 1 Lindi



Bais la kampuni ya TARIKI linalo fanya safari zake Masasi Mtwara leo mida ya saa 6 mchana ilipofika maeneo ya Mnazi Mmoja Lindi Basi hilo lilipata Ajali Baada ya Dereva kushindwa kumudu Mwendo kasi na kupinduka, Ajali hiyo imesababisha Kifo cha Mtu mmoja...


Comments

Popular posts from this blog

Picha 10: Dereva wa Kirikuu Anusurika Kifo Baada ya Gari Lake Kuwaka Moto

Ujuwe Ugonjwa wa Busha

Alichokisema aliyekuwa katibu wa chadema mkoani Mwanza baada ya kutimkia CCM