Jack Wilshere kujiunga na Bournemouth


Kiungo wa kati wa Arsenal Jack Wilshere anakaribia kujiunga na klabu ya Bournemouth kwa mkopo wa muda wa msimu uliosalia baada ya mpango wa kuijiunga na klabu ya Roma kuzuiwa na Arsenal.

The Gunners ilikataa kufanya biashara na Roma kwa sababu ya vile walivyochukulia uhamisho wa beki Kostas Manolas mapema msimu huu.

Wilshere mwenye umri wa miaka 24 alifanya mazungumzo na Bournemouth na Crystal Palace.

Anatarajiwa kufanyiwa ukaguzi wa kimatibabu na The Cherries.

Comments

Popular posts from this blog

Alichokisema aliyekuwa katibu wa chadema mkoani Mwanza baada ya kutimkia CCM

UFUGAJI BORA WA KUKU WA KIENYEJI

Moto wa mkaa wamuuwa mchimba kisima jijini Arusha