Nasri aonyesha hataki kurudi MAN City, aamua kuuza mjengo wake


Nyota wa Man City, Samir Nasri ameamua kuliuza jumbo lake la kifahari la mjini Ceshire, England kwa kitita cha pauni million 5.7.

Nasri ambaye sasa anakipiga kwa mkopo Sevilla ya Hispania ameamua kuliuza jumbo hilo lenye ukumbi wa disco, bwawa kubwa la kuogelea, stoo kubwa ya mvinyo na kadhalika.


Uamuzi huo wa Nasri mwenye umri wa miaka 29 ni dalili ameamua kubaki Hispania na huenda akaishaiwishi Man City imuuze kabisa.

Comments

Popular posts from this blog

Alichokisema aliyekuwa katibu wa chadema mkoani Mwanza baada ya kutimkia CCM

UFUGAJI BORA WA KUKU WA KIENYEJI

Moto wa mkaa wamuuwa mchimba kisima jijini Arusha