Simba yaipa kichapo Kagera Suger 2 - 0 uwanja wa Uhuru jijini Dar leo


Simba imezidi kujichimbia kileleni baada ya kuichapa Kagera Sugar kwa mabao 2-0 katika mechi ya Ligi Kuu Bara kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.

Simba iemfikisha pointi 23 kileleni baada ya ushindi huo wa mabao yake yaliyofungwa na Muzamiru Yasini na Shiza Kichuya.

MECHI NYINGINE LEO:
JKT Ruvu 1-1 Mwadui
Stand United 1-1 African Lyon

Comments

Popular posts from this blog

Alichokisema aliyekuwa katibu wa chadema mkoani Mwanza baada ya kutimkia CCM

UFUGAJI BORA WA KUKU WA KIENYEJI

Moto wa mkaa wamuuwa mchimba kisima jijini Arusha